TAPO Logo

TAPO Logo

Thursday, November 16, 2006

Makazi Ya Viumbe


Makaza ya viumbe wengin hasa warukao hutegemea hasa kuishi kwenye miti na majani kwa kipindi chao chote cha maisha yao.
Baadhi ya watu wamekuwa wakikata miti hovyo na kuchoma majani kila sehemu ya nchi yetu na kitendo hiki ni ukatili wa hali ya juu kwa viumbe hao, watu wanatakiwa kuwa na huruma na kufikiria kila jambo wanalotenda

No comments: