TAPO Logo

TAPO Logo

Thursday, November 16, 2006

Makazi Ya Viumbe


Makaza ya viumbe wengin hasa warukao hutegemea hasa kuishi kwenye miti na majani kwa kipindi chao chote cha maisha yao.
Baadhi ya watu wamekuwa wakikata miti hovyo na kuchoma majani kila sehemu ya nchi yetu na kitendo hiki ni ukatili wa hali ya juu kwa viumbe hao, watu wanatakiwa kuwa na huruma na kufikiria kila jambo wanalotenda

Humane Education


Humane Education is key factor for decreasing violence among young people, we need to educates young peoples to understand and to care about human being and animal, that all are creatures and need the right to live.
Teaching humane education in Tanzania is not famous despite the peace song the country leaders speaking, if we can teach all people concerning the caring of others we can keep the country of Tanzania in more safe nation to live in the world

Saturday, November 11, 2006

Make Donation

Please make donation to our organization in order to make us works by donating anything through the following address
Tanzania Animals Protection Org
Box 62921
Dar es salaam
Tanzania
Email;tap_org@yahoo.com
Tell; +255 0756 027419

Thursday, November 02, 2006

Mateso ya Ng'ombe Pugu Mnadani

Wanyama aina ya Ng'ombe katika mnada wa pugu wanateswa sana kiasi kwamba inatia shaka katika jamii ya watanzania kuwa wengi kati yetu wanawatendea wanyama vibaya sana na kuonyesha kuwa wanajali pesa tu kuliko kuwapatia hali bora wanyama hao hata kama wanachinjwa.
Tunahitaji msaada mkubwa wa kukabiliana na tatizo hili kwa yeyote yule Tafadhali wasiliana nasi kwa simu 0756 027419 au email tap_org@yahoo.com